EXCLUSIVE : KWELI MZIKI UNALIPA BASI HII NDO NYUMBA ALIYONUNUA MSANII YOUNG DEE MAENEO YA KIMARA. ICHEKI HAPA

                                      Star wako Young Dee ameweza kupost picha za Crib yake mpya ambayo ameinunua na kuiweka  katika akaunti yake ya instagram.com na kuweza kusema “When i say i love music this is wats uup!!! Jus bought a crib oohh lord..”
Crib hii ambayo ipo maeneo ya Kimara suka Star wako Young Dee amepiga story na perfecttz.com kwamba mpaka mwezi wa Saba au Nane atakua tayari ameshahamia rasmi kwa sababu ryt now ipo katika matengenezo!


0 comments: