NEY WA MITEGO AHONGA GARI LA MILLION 36!!!!! SOMA HAPA
“Siwezi kuficha nampenda sana Siwema ndiyo maana nimempa zawadi ya gari, nilimuahidi nitampa zawadi lakini alikuwa hajui ni zawadi gani, nilipomfanyia ‘sapraizi’ ya gari hilo hakuamini,” alisema Nay wa Mitego.
Hivi karibuni Siwema alitundika picha ya gari hilo lenye rangi ya silva aina ya Toyota Lexus katika ukurasa wake wa Instagram akimshukuru ‘baby’ wake huyo.
0 comments: