LULU AMEKIRI, ALIKUWA NA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA KANUMBA, HUU NDO USHAHIDI ALIOUTOA MAHAKAMANI

0 comments

MSANII wa Filamu nchini, Elizabeth Michael'Lulu' ambaye anakabiliwa na kesi ya kumuua bila kukusudia msanii mwenzake, Steven Kanumba, amekiri kuwa alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na msanii huyo na kwamba walikuwa na ugomvi.
Lulu alikiri hayo leo wakati akisomewa mashitaka yake mbele ya Jaji Rose Temba wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es salaam ambapo lulu  baada ya kusomewa mashitaka amekana kumuua.
Mbali na kukiri kuwa na uhusiano, pia lulu akikiri kuwa baada ya tukio alitoka nje ya chumba walichokuwepo na kwenda kumwambia mdogo wake Marehemu Kanumba, Setti Bosco kuwa marehemu amedondoka.
Akisoma hati ya mashitaka Wakili Mwandamizi wa Serikali, Monica Mbogo, alidai kuwa Aprili 7, mwaka 2012, Sinza Vatikani, Mkoa wa Dar es salaam, mshitakiwa alimuua bila kukusudia msanii Kanumba.
Wakili Kombo, alidai kuwa pamoja na mambo mengine, marehemu Kanumba baada ya kufa, mwili wake ilipelekwa hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo majibu yanaonyesha kwamba kifo chake kimesababishwa na uvimbe ndani ya ubongo.
Upande wa serikali una mashahidi watano pamoja na vielelezo wakati upande wa utetezi unatarajia kuwa na mashahidi watano na vielelezo.


MANAIKI SANGA NA NEY WA MITEGO SASA CHUI NA SWALA, BIFU MATATA....KISA INASEMEKANA DEMU WA NEY KASHA.......CHEZEA MANAIKI WEYEEE,,,SOMA ZAID HAPA

0 comments
 Msanii wa Bongo Movie nchini Manaiki Sanga "The Don" 
Mwanamuziki wa bongo Flava Nay wa Mitego akiwa na mchumbaake aliyezusha balaa baada ya Manaiki Sanga kudai kuwa keshampitia na kutaja alama zilizopo mwilini mwake.
Na Mwandishi Wetu
Msanii Manaiki Sanga "The Don" ameonekana kumtafuta Ney wa Mitego na kuingilia ndoa yake baada ya kuandika kwenye mtandao wa Facebook akisema kuwa mke anaejitambia Nay ameshamla uloda sana kiasi cha kutaka kumuoa.
Kwenye post hiyo Manaiki alisema kuwa msichana huyo ambae hakumtaja jina alikuwa kama mke wake kwa kipindi kirefu sana na hadia nakuja kumchukua Nay ambae hivi karibuni ametangaza kumnunulia gari la milioni therathini kama zawadi.

LULU ATINGA MAHAKAMA KUU DAR HAPO JANA KUSIKILIZA KESI YAKE

0 comments



Elizabeth Michael ‘Lulu’.
STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ametinga ndani ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akiambatana na msanii maarufu wa filamu Bongo, Mahsein Awadh 'Dk. Cheni' tayari
kusikiliza kesi yake inayomkabili juu ya kifo cha marehemu Steven Kanumba!
Lulu amewasili mahakamani hapo bila wasiwasi wowote na kwenda kukaa akisubiri kesi yake kuanza.

SHILOLE, MADEE, QUEEN DARLEEN WALIVYOWADATISHA WANA IGUNGA VALENTINE'S DAY !!! CHECK PICHA HAPA

0 comments


Shilole na Madee wakiwadatisha wakazi wa Igunga kabla ya shoo ya Valentine's Day.

Shilole (kushoto) na Queen Darleen (kulia) wakisema na wana Igunga.
Shilole, wacheza shoo wake na Queen Darleen wakizidi kuwapa raha mashabiki kabla ya shoo yao usiku wa Wapendanao.
Wasanii Zuwena Mohamed 'Shilole' au Shishi Baby, Hamadi Ally 'Madee' na Queen Darleen waliwadatisha vilivyo wakazi wa Igunga mjini siku ya Wapendanao 'Valentine's Day' kabla ya shoo yao iliyofanyika Ukumbi wa Sakao uliopo Igunga Mjini.

YOUNG KILA AVULIWA NGUO NA WAJEDA.....ALIKATIZA KWENYE KAMBI YA JESHI HUKU AKIWA KAVAA NGUO YAO:

0 comments
Young killer juzi kati amenyang’anywa pensi aliyokua amevaa…penzi hiyo yenye rangi za kijeshi alivuliwa huko mwanza kipindi akipita karibu na kambi moja ya jeshi huko jijini mwanza.
. young killer alipost picha hii kisha kuandika maneno haya mtandaoni....
Jeshi..letu la tanzania .na wasifu..xana wako silias xana na kazi yao...jana jion..wamefanikiwa kunivua hii pensi yao..ambayo mim..niliipenda kwa dhat kuliko nguo zote nilizo nazo nyumbani..R.I.P..pensi yangu

CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) CHA TANGAZA NAFASI ZA KAZI

0 comments



The University of Dodoma invites applications from suitable qualified Tanzanians to fill the
following positions.



1. POSITION: HUMAN RESOURCE AND ADMINISTRATIVE OFFICER II (12
positions)
Required qualifications:
Holder of a University degree in Public/Business Administration, Sociology, Human
Resources or Law or its equivalent from a recognized institution.
Basic Duties:
Deals with general University administration and Management.
Salary Scale: PGSS 10
--------------------------

2. POSITION: PLANNING OFFICER II (4 positions)
Required qualifications:
Holder of a Bachelors Degree or its equivalent in Economics, Educational Planning,
Engineering, Engineering Management, Statistics, Architecture, or Computing from a
recognized institution.
Basic Duties:
Implements the University’s rolling strategic plan; participate in the preparation of the
University budget and Collects, analyse and keep University statistics and data.
Salary Scale: PGSS 10
---------------------------

3. POSITION: ASSISTANT INTERNAL AUDITOR II (6 positions)
Required qualifications:
Possession of a University Degree in Accountancy or Advanced Diploma in Accountancy
or Professional Level II or Module C and D.
Basic Duties:
Executes audit programmes and assist the Internal Auditor.
Salary Scale: PGSS 10 SOMA ZAIDI

4. POSITION: LEGAL OFFICER II (2 positions)
Required qualifications:
Holder of LLB degree plus one year Internship.
Basic Duties
Deals with all legal correspondences addressed to the University.
Salary Scale: PGSS 11
--------------------------

5. POSITION: PERSONAL SECRETARY I (9 positions)
Required qualifications:
Diploma in Secretarial Studies from a recognized institution WITH passes in shorthand at
50/60 w.p.m, Manuscript, Tabulation stage III, Secretarial Duties and Office Practice
Stage II.
Basic Duties:
To provide Secretarial services.
Salary Scale: PGSS 8
---------------------------

6. POSITION: OFFICE ASSISTANT II (5 positions)
Required qualifications:
Holder of Form Four School Certificate or its equivalent.
Basic Duties:
After receiving appropriate orientation, the Office Assistant will be assigned duties and
responsibilities as per specific requirements of the area of deployment.
Salary Scale: POSS 5
---------------------------

7. POSITION: DRIVER II (7 positions)
Required qualifications
Form IV Certificate with passes in Kiswahili and English. A valid Class C Driving Licence
and working experience of not less than four years. Possession of Trade Test Grade
II/Drivers Grade II certificate from recognised Institutions such as NIT or VETA, will be an
added advantage.
Basic Duties:
Drive and maintain institutional vehicles.
Salary Scale: POSS 5
--------------------------

8. POSITION: RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT I (13 positions)
Required qualifications
Secondary Education Certificate PLUS Diploma in records management from a
recognized Institution.
Basic Duties
Handle all registry activities and office records.
Salary Scale: PGSS 6
--------------------------

9. POSITION: RECEPTIONIST II (4 positions)
Required qualifications
Form IV/VI Certificate with passes in English and Kiswahili PLUS training in hospitality
He/ She must be fluent in English and Kiswahili languages.
Basic Duties
Receive and direct guests/visitors of the University
Salary Scale: PGSS 5
--------------------------

10. POSITION: ASSISTANT ACCOUNTANT II (10 positions)
Required qualifications
Bachelor Degree or Advanced Diploma in Accountancy, Finance or a full Intermediate
Professional stage with Module C&D with ability to use relevant computer application
software.
Basic Duties
Maintain accurate accounts records and custodian of accountable documents
Salary Scale: PGSS 10
---------------------------

11. POSITION: ESTATES OFFICER II (7 Positions)
Required qualifications
Bachelor Degree in Architecture, Building Economics, Land Management and Valuation,
Civil, Electrical or Environmental Engineering or equivalent qualifications from a
recognized Institution.
Basic Duties
Assist in the planning and management of Estate activities and services.
Salary Scale: PGSS 11
-----------------------------

12. POSITION: ARTISAN II (10 Positions)
Required qualifications
Ordinary Level Secondary Education Certificates with Trade Test Grade III/level I with
at least three years working experience in related field
Basic Duties
Perform with minimum supervision-large technical jobs requiring high level of
skills/craftsmanship
Salary Scale: POSS 5
----------------------------

13. POSITION: SYSTEMS / NETWORK ADMINISTRATOR II (4 Positions)
Required qualifications:
Bachelor Degree/Advanced Diploma in Computer Science, Information Technology,
Electronics or equivalent from a recognized Institution.
Basic Duties:
Assist in managing and maintaining server operating systems and networks
Salary Scale: PGSS 11
----------------------------

14. POSITION: GAMES TUTOR II (2 Position)
Required qualifications:
Bachelor Degree/Advanced Diploma in Physical Education and Sports or equivalent from
a recognized Institution.
Basic Duties:
Conduct basic training in various sports and games and assist in taking charge of play
grounds, sports and equipment.
Salary Scale: PTSS 10
---------------------------

15. POSITION: INSTRUCTOR II (1 Position)
Required qualifications
Bachelor Degree in Fine Art, Music, Language, Engineering, Theatre Art, or its
equivalent from any recognized Institution.
Basic Duties
Assist teaching of relevant areas of specialization e.g. preparation of teaching materials,
arrangement of the labs, studio etc.
Salary Scale: PUSS 6
--------------------------

16. POSITION: INSTRUCTOR II (Transcriber) (1 Position)
Required qualifications
Bachelor Degree in Special Education or equivalent from a recognised Institution.
Basic Duties
Transcribe reading material e.g. hand-outs, chapters, passages, books for visual impaired
students and to service Braille, and other audio-visual instruments used by visual
impaired students.
Salary Scale: PUSS 6
------------------------

17. POSITION: LABORATORY ENGINEER II (8 Positions)
Required qualifications
Bachelor Degree/Advanced Diploma in Science/Engineering or its equivalent from a
recognised Institution.
Duties and Responsibilities
Assist in planning and organization of practical for undergraduate students; plan and
supervise maintenance of laboratory/workshop facilities; assist in research and
consultancy activities.
Salary Scale: PUSS 6
------------------------

18. POSITION: LABORATORY SCIENTIST II (7 Positions)
Required qualifications
Bachelor Degree/Advanced Diploma in Science/Engineering or its equivalent from a
recognised Institution.
Duties and Responsibilities
Assist in planning and organization of practical for undergraduate students; plan and
supervise maintenance of laboratory/workshop facilities; assist in research and
consultancy activities.
Salary Scale: PUSS 6
----------------------

19. POSITION: PROCUREMENT AND LOGISTICS OFFICER II (2 Positions)
Required qualifications
Bachelor Degree/Advanced Diploma in Material Management, Supplies, Procurement or
its equivalent from a recognized Institution. MUST POSSESS a CSP/CPSP/IPS and
REGISTERED as APPROVED Supplies Officer or Stock Verifier by Procurement and
Supplies Professional Board.
Basic Duties
Co-ordinate purchasing, stores, clearing and forwarding, inventories and supplies control
services and implement policies pertaining to materials management.
Salary Scale: PGSS 14
-----------------------

20. POSITION: TECHNICIAN I (4 Positions)
Required qualifications
Full Technician Certificate (FTC) or Diploma in Civil Engineering, Electrical
Engineering, NTA Level VI, Guilds I & II (CGLT), or Higher National Cert. (HNC) OR
its Equivalent from a recognized Institution.
Basic Duties
To carry-out repair and maintenance of university facilities as per specialization.
Salary Scale: PGSS 6
--------------------------------------
MODE OF APPLICATION:
1. Applicants should write the post applied on the envelope
2. For those who are employed, their application should be approved by their employer
3. Applications supported with detailed Curriculum Vitae, relevant copies of certificates i.e.
Degree/Diploma certificates /testimonials, academic transcripts plus Secondary School
Certificates; names and addresses of at least two referees (telephone, fax and email) should
be submitted to:
DEPUTY VICE CHANCELLOR,
(PLANNING, FINANCE AND ADMINISTRATION)
UNIVERSITY OF DODOMA,
P.O. BOX 259
DODOMA
4. Applicants are advised to download Referees’ Recommendation Forms from
www.udom.ac.tz.
APPLICATION DEADLINE: 25TH FEBRUARY, 2014



TAZAMA PICHA YA NEY WA MITEGO AKIWA NA KIBURUDISHO CHAKE ALICHOKINUNULIA NDINGA:

0 comments