MANAIKI SANGA NA NEY WA MITEGO SASA CHUI NA SWALA, BIFU MATATA....KISA INASEMEKANA DEMU WA NEY KASHA.......CHEZEA MANAIKI WEYEEE,,,SOMA ZAID HAPA

 Msanii wa Bongo Movie nchini Manaiki Sanga "The Don" 
Mwanamuziki wa bongo Flava Nay wa Mitego akiwa na mchumbaake aliyezusha balaa baada ya Manaiki Sanga kudai kuwa keshampitia na kutaja alama zilizopo mwilini mwake.
Na Mwandishi Wetu
Msanii Manaiki Sanga "The Don" ameonekana kumtafuta Ney wa Mitego na kuingilia ndoa yake baada ya kuandika kwenye mtandao wa Facebook akisema kuwa mke anaejitambia Nay ameshamla uloda sana kiasi cha kutaka kumuoa.
Kwenye post hiyo Manaiki alisema kuwa msichana huyo ambae hakumtaja jina alikuwa kama mke wake kwa kipindi kirefu sana na hadia nakuja kumchukua Nay ambae hivi karibuni ametangaza kumnunulia gari la milioni therathini kama zawadi.

0 comments: