LULU ATINGA MAHAKAMA KUU DAR HAPO JANA KUSIKILIZA KESI YAKE



Elizabeth Michael ‘Lulu’.
STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ametinga ndani ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akiambatana na msanii maarufu wa filamu Bongo, Mahsein Awadh 'Dk. Cheni' tayari
kusikiliza kesi yake inayomkabili juu ya kifo cha marehemu Steven Kanumba!
Lulu amewasili mahakamani hapo bila wasiwasi wowote na kwenda kukaa akisubiri kesi yake kuanza.

0 comments: